SAUTFM

Friday 27 May 2016

KAKA AITWA TIMU YA TAIFA

Ricardo Kaka ameitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Brazil baada ya mchezaji wa Bayern Munich Douglas Costa kuumia.Brazil wanajiandaa na michuano ya copa america inayotarajiwa kuanza mwezi ujao.

0 comments: