SAUTFM

Thursday 2 June 2016

KAKA AONDOLEWA KWENYE KIKOSI CHA BRAZIL

Ricardo kaka ameondolewa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Brazil kinachoshiriki michuano ya Copa America kutokana na majeruhi na Paul Ganso amechukua nafasi yake.Kaka ambaye alichukua nafasi ya mchezaji wa Bayern Munich Douglas Costa baada ya kuumia pia michezoni. 

0 comments: